Tarehe 24 January 2025 Rais Tshisekedi alikatiza ziara yake mjini Davos baada ya mapigano makali kuzuka nchini mwake.
卢旺达支持的刚果反政府武装占领该国东部最大城市戈马(Goma)后,星期四(1月30日)表示计划将战斗推进至刚果民主共和国首都金沙萨,有意展示其治理能力。对此,刚果总统费利克斯·齐塞克迪(Félix ...
Kiongozi wa Kundi la M23, Corneille Nangaa amesema baada ya kuukamata mji wa Goma, wataendelea na mapigano hadi mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.
Miongoni mwa masuala ya Afrika yaliyoangaziwa na magazeti ya Ujerumani wiki hii, ni pamoja na mzozo wa Jamhuri ya ...
Jumuiya ya kimataifa imeitaka Rwanda kuondoa wanajeshi wake nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusitisha uungaaji wake mkono kwa waasi wa M23 wanaosema kwamba wanalenga kusonga mbele hadi mji m ...
Msemaji wa serikali ya Ufaransa, Christophe Lemoine amewataka wanajeshi wa Rwanda na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...
Baada ya waasi wa M 23 kuingia jijini Goma Januari 26, na kusababisha makabiliano makali na wanajeshi wa serikali FARDC, ...